THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA - PRIME MINISTERS OFFICE
   
Search the site


 .: Home
 .: Organization structure
 .: About Us & Contact
 .: Mission & Vision
 .: Project & Programs
 .: Financial Report & Budget
 .: Documents
Taarifa za idara

 .: Kilimo na Mifugo

.: Maliasili

.: Elimu

.: Afya

.: Maji

.: Ushirika

.: Biashara

.: Barabara na Majengo

.: Ardhi, Upimaji na Ramani

.: Jamii, Jinsia & Watoto

.: Kazi

.: Sheria

.: Serikali za Mitaa


Private Area
Webmail
Maoni
Download Software
FAQ & Forums

 


Uwiano wa Wataalamu wa Afya na idadi ya watu  

Jina la wilaya

Madaktari (MO)

Madaktari Wasaidizi (AMO)

Afisa Tabibu

Afisa Wauguzi na Wauguzi wenye ujuzi (NO & TN)

Songea (M)

1:16,274

1:9154

1:3051

1:970

Songea (V)

1:29274

1:35129

1:2788

1:1301

Mbinga

1:112,994

1:32,284

1:370

1:2045

Tunduru

!:55,304

!:34,565

!:10,242

1:3895

Namtumbo

0:195,926

1:97,953

1:10,885

1:9330

Jumla ya Mkoa

1:56,661

1:27,701

1:6296

1:1936

Maoni/Comments:

Uwiano wa madaktari (MO) na idadi ya watu bado siyo nzuri kwani Mkoa una jumla ya madaktari 22 kwa hospitali za Serikali na Mashirika ya Dini . Pia katika kipindi hicho hicho ajira za Maafisa Wauguzi na Wauguzi wenye ujuzi zimeongezeka hasa kwa hospitali ya Mkoa.

HALI YA MAGONJWA NA VIFO VINAVYOATHIRI WANANCHI MKOANI

Magonjwa 10 yanayoshika nafasi katika kujitokeza na kuathiri jamii ni kama ifuatavyo:-

•  Malaria

•  Kuhara

•  Magonjwa ya njia ya hewa

•  Kichomi

•  Magonjwa ya macho

•  HIV & AIDS

•  Kuhara damu

•  Kifua Kikuu

•  Magonjwa ya ngozi

•  Magonjwa ya minyoo

Magonjwa yanayoongoza kwa kusababisha vifo katika jamii:-

•  Malaria

•  UKIMWI

•  Anaemia

•  Kichomi

•  Kuhara

•  Kifua Kikuu

•  Magonjwa ya Moyo

•  Magonjwa ya njia ya hewa

•  Kuhara damu

•  Uti wa Mgongo

 

MIKAKATI MBALIMBALI YA KUDHIBITI MAGONJWA YA KUAMBUKIZA

1. Kuboresha hali ya mazingira mijini na vijijini.

2. Kuelimisha jamii na kamati za Afya za Kata vijiji.

3. Kuboresha upatikanaji wa takwimu za magonjwa na kuzitumia katika kupanga mikakati ya kuzuia.

4. Kuimarisha ufuatiliaji wa magonjwa.

5. Kuimarisha kamati za Maafa na dharura katika wilaya, kata na vijiji.

HALI YA LISHE NA UTAPIAMLO MKALI

Mkoa wa Ruvuma umefikia kiwango cha asilimia 1 ya utapiamlo mkali ikilinganishwa na asilimia 2.9 ya Taifa. Hali ya utapiamlo kwa kila wilaya ni kama ifuatavyo:-

•  Mbinga - 0.2%

•  Tunduru - 2.3%

•  Songea (V) - 1.3%

•  Namtumbo - 1.2%

•  Songea (M) - 0.2%

Back

Investments Opportunity

Tourism

Tele-Communications

Extra Information

Forest Tourist Telephone Maps of Road Network
Mining Postal Services GDP
Fishing Honey Produce and Processing Radio Call Stations

Energy Sector

Industry Wildlife National Television Channels and Access Air-Plan

 


Copyright © 2007 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, P.O.BOX 74, Songea, TEL: 025 - 2602238/2602256,2602641, FAX: 025-2602144

[Go Home][WebMaster ]