• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ruvuma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Muundo wa Utawala
  • Utawala
    • Sehemu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Huduma za Sheria
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyo kamilika
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Namtumbo

Taarifa kwa Umma Uzinduzi Kampeni Furaha Yangu Ruvuma 2018

30 August 2018

Taarifa kwa Umma 

30 AGOSTI, 2018

OR-TAMISEMI, OFISI YA MKUU WA MKOA WA RUVUMA INATANGAZA UZINDUZI WA  KAMPENI YA FURAHA YANGU KUHAMASISHA HUDUMA ZA KUPIMA VVU NA KUANZA ARV MAPEMA.

Mkoa wa Ruvuma na   wa mapambano ya Virusi Vya UKIMWI na UKIMWI  inayo furaha kutangaza uzinduzi wa kampeni ya Furaha Yangu kimkoa.

Kampeni hii inahamasisha mkakati   na kuanza kutumia ARV mapema kwa wale watakaokutwa na VVU. Kupitia kampeni ya Furaha Yangu, ujumbe wa serikali ya Mkoa ni kuwakutambua hali yako ya VVU huleta amani, na kuanzishiwa ARV mapema kwa wale wenye VVU inawasaidia kuimarisha afya na  kupunguza hatari ya kuambukiza VVU kwa wenza wao.

Katika kutimiza dira ya kuwa na Taifa bila UKIMWI, Tanzania imeridhia malengo ya UNAIDS ya 90-90-90: kufikia mwaka 2020 asilimia 90 ya watu wote wanaoishi na VVU kutambua hali zao za VVU, asilimia 90 ya watu wote wenye VVU kuanza ARV, na asilimia 90 ya wote walionza ARV kupunguza kiwango cha VVU mwilini.

Kampeni ya furaha Yangu itaanza kwa kuhamasisha wanaume wenye umri chini ya miaka 45 kujitokeza kupima VVU na kasha kuanza kuyafikia makundi mengine ya wasichana walio katika umri wa kubalehe, wanawake wenye umri mdogo  ( miaka15 hadi 24), akinamama wajawazito, watu wanaotambua kuwa wanaishi na VVU na hawajaaza kutumia ARV, akinamama wanaonyonyesha na wanaoishi na VVU na Watoto wao.

Sambamba na uzinduzi wa kampeni hii, mkoa utazindua mpango wa FASTA ambao watu wanaoishi na VVU kwa ridhaa yao wataunganishwa katika mpango huu na kutumiwa ujumbe kwa njia ya simu (ARAFA) na kujitathmini mwanendo wa tiba ya kila mwezi,   ARV kwa usahihi na kukumbushwa tarehe za kwenda kliniki za tiba na matunzo (CTC).Mpango huu utawasaidia wale watakao kuwa ameambukizwa kuzingatia tiba

Kampeni ya furaha Yangu itazinduliwa rasmi na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu (Mb),siku ya tarehe 31 Agosti 2018,  . Kumekuwepo na huduma za afya bila malipo ikiwemo huduma ya upimaji wa VVU kuanzia tarehe 28 hadi 31 Agosti,2018. Mkuu wa Mkoa inatoa wito kwa wa kazi wote wa Manispaa ya Songea na Wilaya za jirani kushiriki katika uzinduzi huu na kupima afya zao.

 

Imetolewa na

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

S.L.B 74, Songea,Simu:  025 260 22 56, Barua pepe: rasruvuma@tamisemi.go.tz

 

Mkoa wa Ruvuma

 



Matangazo

  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne mwaka 2018 January 24, 2019
  • Kikao cha Maandalizi ya Wiki ya Maonyesho ya Viwanda na Uwekezaji January 23, 2019
  • Orodha ya Wanafunzi waliofaulu Kidato cha Kwanza Mkoa wa Ruvuma 2019 December 17, 2018
  • Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani December 02, 2018
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Watumishi 3 Manispaa ya Songea Wasimamishwa Kazi

    February 17, 2019
  • Watumishi wa Umma Kuweni na Subira Ongezeko la Mishahara - Waziri Mkuu Majaliwa

    February 08, 2019
  • Ufuatiliaji wa Mapato ya Ndani kwenye Halmashauri za Ruvuma

    January 17, 2019
  • Mpokezi ya Waziri Mkuu Ruvuma

    January 03, 2019
  • Angalia zote

Video

MAAGIZO YA MKUU WA MKOA KWA WATENDAJI WAKUU NA WATUMISHI WA SERIKALI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Kurasa Mashuhuru

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Regional Commissioner Office

    Anwani ya Posta: 74 Songea

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: 0252602256

    Barua pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusha
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimili@2017 Ruvuma.Haki zote zimeifadhiwa