THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA - PRIME MINISTERS OFFICE
   
Search the site


 .: Home
 .: Organization structure
 .: About Us & Contact
 .: Mission & Vision
 .: Project & Programs
 .: Financial Report & Budget
 .: Documents
Taarifa za idara

 .: Kilimo na Mifugo

.: Maliasili

.: Elimu

.: Afya

.: Maji

.: Ushirika

.: Biashara

.: Barabara na Majengo

.: Ardhi, Upimaji na Ramani

.: Jamii, Jinsia & Watoto

.: Kazi

.: Sheria

.: Serikali za Mitaa


Private Area
Webmail
Maoni
Download Software
FAQ & Forums

 


ELIMU

Mkoa wa Ruvuma umekuwa unatekeleza programu mbali mbali zinazohusu elimu kuanzia elimu ya awali, elimu maalum, elimu ya msingi, elimu ya sekondari, na vyuo.

  Elimu ya Awali:

Mwaka 2005 Mkoa ulikuwa na shule zenye madarasa ya awali 650 kati ya shule za msingi 668, sawa na asilimia 97 ya shule za msingi zilizokuwepo. Kufikia Desemba 2008 shule zenye madarasa ya awali zimefikia 687, sawa na asilimia 95 ya shule za msingi 723.

Idadi ya wanafunzi walioandikishwa madarasa ya awali.

 

MWAKA

WATOTO WENYE MIAKA 5-6

WALIOANDIKISHWA

 

ASILIMIA

 

WAV

WAS

JUMLA

WAV

WAS

JUMLA

 

2006

28,500

32,014

60,515

13,560

17,389

30,949

51.1

2007

29,166

28,500

57,666

12,030

15,906

27,936

48

2008

54,117

55,094

109,211

47,249

39,378

77,618

71.1

Chanzo : Fomu za Takwimu za shule za awali - TSA kutoka Wilayani

Mkoa unaendele ana utekelezaji kwa kuhamasisha wananchi kuandikisha watoto katika madarasa ya awali katika shule za msingi zilizopo.

  Elimu ya Msingi:

Katika kutekeleza azma ya Serikali kutaka kila mtoto mwenye umri wa kwenda shule anaenda, Mkoa umeongeza shule za msingi kutoka 668 mwaka 2005 hadi shule 723 kufikia Desemba 2008 (shule 717 za serikali na 6 zisizo za serikali), kiasi hiki kinaonyesha ongezeko la shule 55 sawa na ongezeko la asilimia 8.2 Kutokana na ongezeko la shule, idadi ya wanafunzi walioandikishwa shuleni darasa la I mpaka la VII imeongezeka kutoka wanafunzi 266,788 mwaka 2005 kufikia wanafunzi 281,062 mwaka 2008

 

MWAKA

IDADI YA SHULE

WALIOANDIKISHWA

 

SERIKlLI

BINAFSI

JUMLA

WAV

WAS

JUMLA

2005

663

5

668

134,510

132,278

266,788

2006

675

5

680

137,535

135,880

273,415

2007

695

5

700

141,073

139,563

280,636

2008

717

6

723

141,264

139,798

281,062

Chanzo : Fomu za Takwimu za shule za Msingi - TSA 1 na 2 kutoka Wilayani

Next

Investments Opportunity

Tourism

Tele-Communications

Extra Information

Forest Tourist Telephone Maps of Road Network
Mining Postal Services GDP
Fishing Honey Produce and Processing Radio Call Stations

Energy Sector

Industry Wildlife National Television Channels and Access Air-Plan

 


Copyright © 2007 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, P.O.BOX 74, Songea, TEL: 025 - 2602238/2602256,2602641, FAX: 025-2602144

[Go Home][WebMaster ]