THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA - PRIME MINISTERS OFFICE
   
Search the site


 .: Home
 .: Organization structure
 .: About Us & Contact
 .: Mission & Vision
 .: Project & Programs
 .: Financial Report & Budget
 .: Documents
Taarifa za idara

 .: Kilimo na Mifugo

.: Maliasili

.: Elimu

.: Afya

.: Maji

.: Ushirika

.: Biashara

.: Barabara na Majengo

.: Ardhi, Upimaji na Ramani

.: Jamii, Jinsia & Watoto

.: Kazi

.: Sheria

.: Serikali za Mitaa


Private Area
Webmail
Maoni
Download Software
FAQ & Forums

 

 

Kufuatia ongezeko la ujenzi wa madarasa Mkoa wa Ruvuma umeweza kuongeza uandikishaji wa watoto kwenda shule ya msingi kwa asilimia 106 Mwaka 2008

 

Ujenzi wa nyumba za walimu Shule za Msingi 2005-2008

Kuwepo nyumba bora za walimu ni moja ya motisha kwa walimu. Nyumba za walimu zilizokuwepo kufikia Desemba 2008 ni 2,507, ikilinganishw ana nyumba 2001 zilizokuwepo mwaka 2005 sawa na ongezeko la nyumba 506 ambalo ni asilimia 25.3

Nyumba za walimu shule za msingi mwaka 2005 – 2008

 

MWAKA

IDADI YA SHULE

IDADI YA WALIMU

IDADI YA NYUMBA ZA WALIMU

MAHITAJI

 

MAHITAJI

WALIOPO

UPUNGUFU

MAHITAJI

WALIOPO

UPUNGUFU

2005

668

 

6696

5331

1165

6696

2001

4695

2006

680

 

7184

5699

1485

7184

2357

4827

2007

700

7351

5733

1532

7351

2507

4844

2008

723

7457

5795

1908

7457

2507

4950

Chanzo : Fomu za Takwimu za shule za Msingi – TSA 1 na 2 kutoka Wilayani

Elimu ya Sekondari:

Mkoa kwa kushirikiana na wananchi, Serikali Kuu pamoja na wadau mbalimbali wa maendeleo wameshiriki kikamilifu katika ujenzi wa shule za sekondari. Kutokana na jitihada hizo Mkoa umeongeza idadi ya shule za sekondari kutoka shule 79 zilizokuwepo mwaka 2005, hadi shule 144 mwaka 2008 (Shule 121 za Serikali na shule 23 shule zisizo za kiserikali)

Idadi hiyo inaonyesha ongezeko la shule 65 au sawa na ongezeko la asilimia 82.3. Shule hizo zina jumla ya wanafunzi 16,113 kwa mwaka 2007, ikilinganishwa na wanafunzi 6,085 waliokuwepo mwaka 2005 sawa na ongezeko la asilimia 165. Mwaka 2008, Mkoa umefanikiwa kuwaingiza wanafunzi wote waliofaulu darasa la saba, ambao idadi yao ni 12,488.

Mafanikio katika Sekta ya Elimu.

•  Ongezeko la uandikishaji wanafunzi shule za msingi kutoka 266788 mwaka 2005 kufikia wanafunzi 281062 mwaka 2008

•  Ongezeko la shule za msingi 55, kutoka shule 668 mwaka 2005 kufikia shule 723 Desemba 2008

•  Ongezeko la shule za sekondari za Serikali kutoka shule 79 mwaka 2005 kufikia shule 144 Desemba 2008 sawa na ongezeko la asilimia 82

•  Ongezeko la wanafunzi walioingia kidato cha I kutoka wanafunzi 6,085 mwaka 2005 kufikia wananfunzi 12,488 mwaka 2008 na 19,085 mwaka 2009.

•  Uwezo wa mkoa kudahili wanafunzi waliofaulu kufikia asilimia 100 ya waliofaulu mwaka 2008 na 2009.

Back

Investments Opportunity

Tourism

Tele-Communications

Extra Information

Forest Tourist Telephone Maps of Road Network
Mining Postal Services GDP
Fishing Honey Produce and Processing Radio Call Stations

Energy Sector

Industry Wildlife National Television Channels and Access Air-Plan

 


Copyright © 2007 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, P.O.BOX 74, Songea, TEL: 025 - 2602238/2602256,2602641, FAX: 025-2602144

[Go Home][WebMaster ]