THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA - PRIME MINISTERS OFFICE
   
Search the site


 .: Home
 .: Organization structure
 .: About Us & Contact
 .: Mission & Vision
 .: Project & Programs
 .: Financial Report & Budget
 .: Documents
Taarifa za idara

 .: Kilimo na Mifugo

.: Maliasili

.: Elimu

.: Afya

.: Maji

.: Ushirika

.: Biashara

.: Barabara na Majengo

.: Ardhi, Upimaji na Ramani

.: Jamii, Jinsia & Watoto

.: Kazi

.: Sheria

.: Serikali za Mitaa


Private Area
Webmail
Maoni
Download Software
FAQ & Forums

 


KILIMO

Uchumi wa mkoa huu hutegemea zaidi kilimo, hivyo mkazo mkubwa umewekwa katika kuhakikisha kuwa kilimo kinazidi kukua ili kuchangia zaidi katika kuongeza pato la Mtu binafsi na hatimaye kuondokana na umaskini. Jitihada zinazofanyika ni kuhakikisha kuwa fursa nzuri zilizopo katika kilimo kama vile eneo kubwa la ardhi linalofaa kwa kilimo, hali nzuri ya hewa, mabonde mengi yanayofaa kwa umwagiliaji na nguvu kazi iliyopo vinatumika ipasavyo.

Uzalishaji wa Mazao ya chakula na biashara:

Katika msimu wa kilimo 2006/2007 jumla ya Hekta 390,434 zimelimwa kati ya lengo la kulima hekta 517,272 Utekelezaji huo ni sawa na asilimia 75.5 ya lengo. Sababu kubwa ya kutofikia lengo ni matumizi hafifu ya zana za kilimo.

 

Matarajio ya mavuno kutokana na eneo lililolimwa ni tani 588,794 sawa na asilimia 76 ya lengo la mavuno ya tani 774,661. Sababu za kutofikia lengo ni pamoja:- Mvua nyingi iliyonyesha kupita kiasi: Wastani wa mvua iliyonyesha ulikuwa ni mm 1448. Kiwango hiki kilikuwa ni kingi zaidi ya wastani wa mvua za kawaida (mm 1100) na hivyo kuathiri uzalishaji wa baadhi ya mazao kama Mahindi, Maharage na Tumbaku. Upungufu wa huduma za ugani na matumizi hafifu ya pembejeo.

Mazao ya chakula :

Eneo lililolimwa kwa ajili ya mazao ya chakula ni hekta 314,075 sawa na asilimia 79 ya lengo la kulima hekta 396,098. Matarajio ni kupata tani 553,223 ya mazao mbalimbali; mahindi tani 243,707, mpunga tani 90,359, muhogo tani 132,777 na mazao mengineyo tani 86,380. Hali ya uzalishaji ni kama ilivyoonyeshwa katika jedwali

 

Mahindi

Paddy grown under Irrigation

 
Mwenendo wa uzalishaji wa mazao ya chakula 2004/2005 - 2007/2008

Mazao ya chakula

2004/2005

2005/2006

2006/2007

2007/2008

Hekta

Tani

Hekta

Tani

Hekta

Tani

Hekta

Tani

Hekta

Mahindi

138,932

272,963

140,764

281,594

126,987

243,707

125814

255855

Mpunga

53,055

102,926

55,373

101,503

50,111

90,359

46283

79528

Maharage

25,394

20,693

26,015

21,172

17,738

12,494

79109

139747

Muhogo

94,078

166,999

95,298

170,269

81,307

132,777

18285

14878

Viazi Vitamu

18,608

42,332

16,983

54,887

15,838

50,457

18767

53428

Ulezi

13,001

10,284

12,113

8,632

9,383

5,853

9344

5417

Kunde

16,200

12,960

16,732

13,232

10,268

8,127

18388

14716

Mtama

947

674

961

1002

321

121

180

121

Mengine

-

-

-

-

2,122

9,328

3161

13291

Jumla

360,215

629,831

364,685

665,671

314,075

553,223

319,331

576,976


Next

 

Investments Opportunity

Tourism

Tele-Communications

Extra Information

Forest Tourist Telephone Maps of Road Network
Mining Postal Services GDP
Fishing Honey Produce and Processing Radio Call Stations

Energy Sector

Industry Wildlife National Television Channels and Access Air-Plan

 


Copyright © 2007 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, P.O.BOX 74, Songea, TEL: 025 - 2602238/2602256,2602641, FAX: 025-2602144

[Go Home][WebMaster ]