THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA - PRIME MINISTERS OFFICE
   
Search the site


 .: Home
 .: Organization structure
 .: About Us & Contact
 .: Mission & Vision
 .: Project & Programs
 .: Financial Report & Budget
 .: Documents
Taarifa za idara

 .: Kilimo na Mifugo

.: Maliasili

.: Elimu

.: Afya

.: Maji

.: Ushirika

.: Biashara

.: Barabara na Majengo

.: Ardhi, Upimaji na Ramani

.: Jamii, Jinsia & Watoto

.: Kazi

.: Sheria

.: Serikali za Mitaa


Private Area
Webmail
Maoni
Download Software
FAQ & Forums

 

 

Mazao ya Biashara:

Jumla ya hekta 76,359 za mazao ya biashara zimelimwa kati ya lengo la kulima hekta 121,194. Utekelezaji huu ni sawa na asilimia 63 ya lengo. Tumbaku tani 2,448, Kahawa tani 12,886, Korosho tani 4,804 na mazao mengine tani 16,631. Sababu kubwa ya kushuka kwa uzalishaji wa mazao ya Tumbaku na Korosho kwa msimu 2006/2007 ukilinganisha na msimu 2005/2006 ni kutokana na kutokuwa na soko la kuaminika la mazao hayo, uwezo mdogo wa wakulima kujinunulia pembejeo na uhafifu wa huduma za ugani.

Mkakati mkubwa uliowekwa kwa ajili ya kuongeza uzalishaji ni kuimarisha huduma za ugani kwa kuhakikisha wataalam wachache waliopo wanatumika kikamilifu katika kutoa huduma kwa wakulima na pia kuendelea kuajiri wataalamu wapya ili angalau kila kijiji kiwe na mtaalam mmoja wa kilimo.

Mazao ya Biashara

Mazao

ya Biashara

2004/2005

2005/2006

2006/2007

2007/2008

Hekta

Tani

Hekta

Tani

Hekta

Tani

Hekta

Tani

Hekta

Tumbaku

17,673

9,721

10,890

5,383

4,875

2,448

3,157

2,514

Kahawa

36,250

8,135

36,356

8,135

36,224

12,886

36303

17,485

Korosho

29,004

10,376

29,073

10,406

10,801

7,727

20652

6,689

Alizeti

3,413

2,178

3,406

2,178

1,800

1,645

1705

1,871

Ufuta

8,393

4,048

8,366

4,142

7,476

3,604

5715

2,808

Karanga

17,327

10,091

17,324

10,493

13,580

10,290

14823

11,520

Soya

808

567

809

569

1,089

1,565

1255

1698

Mengine

-

-

-

-

514

1426

1,299

3,112

Jumla

112,868

45,115

106,224

41,306

76,359

41,591

84,909

47,697

 

Back Next

Investments Opportunity

Tourism

Tele-Communications

Extra Information

Forest Tourist Telephone Maps of Road Network
Mining Postal Services GDP
Fishing Honey Produce and Processing Radio Call Stations

Energy Sector

Industry Wildlife National Television Channels and Access Air-Plan

 


Copyright © 2007 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, P.O.BOX 74, Songea, TEL: 025 - 2602238/2602256,2602641, FAX: 025-2602144

[Go Home][WebMaster ]