THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA - PRIME MINISTERS OFFICE
   
Search the site


 .: Home
 .: Organization structure
 .: About Us & Contact
 .: Mission & Vision
 .: Project & Programs
 .: Financial Report & Budget
 .: Documents
Taarifa za idara

 .: Kilimo na Mifugo

.: Maliasili

.: Elimu

.: Afya

.: Maji

.: Ushirika

.: Biashara

.: Barabara na Majengo

.: Ardhi, Upimaji na Ramani

.: Jamii, Jinsia & Watoto

.: Kazi

.: Sheria

.: Serikali za Mitaa


Private Area
Webmail
Maoni
Download Software
FAQ & Forums

 

 

HUDUMA YA MAJI

Kiwango cha upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi wa mkoa wa Ruvuma hadi Agost 2007 ni wastani wa asilimia 56. Wakazi wa vijijini wanapata huduma hiyo kwa asilimia 55 wakati mijini ni asilimia 57.

Hali ya upatikianaji wa maji

S/N

WILAYA

HALI YA UPATIKANAJI WA MAJI %

 

 

VIJIJINI

MJINI

 WASTANI

1

Songea

56

56

56

2

Mbinga

35

52

43.5

3

Namtumbo

61

-

61

4

Tunduru

67

64

65

5

JUMLA(Mkoa)

219

64

56

MAJI VIJIJINI

a ) Miundombinu ya Maji Vijijini

 

Miundombini ya maji vijijini inatumia technolojia ya visima vya pampu za mkono, mtiririko (gravity) kwa njia ya bomba na kusukuma au kuvuta kwa pampu za umeme, dizel au pampu za maji (hydram) kwa njia ya bomba.Hali ya miundombinu ya maji vijijini mkoa wa Ruvuma imeelezwa hapa chini. Miundombinu inayoangaliwa hapa ni ile inayomilikiwa na umma (public) tu.

i) Visima vya pampu za mkono

•  Vilivyopo 1205

•  Vinavyofanya kazi 948

ii) Vijiji vyenye miradi ya maji ya bomba kwa njia ya mtiririko

•  Iliyopo, vijiji 109

•  Inayofanya kazi, vijiji 103

iii) Vijiji vyenye miradi ya maji ya bomba kwa kusukuma/kuvuta

kwa pampu

- Iliyopo vijiji 17

•  Inayofanya kazi vijiji 9

Next

Investments Opportunity

Tourism

Tele-Communications

Extra Information

Forest Tourist Telephone Maps of Road Network
Mining Postal Services GDP
Fishing Honey Produce and Processing Radio Call Stations

Energy Sector

Industry Wildlife National Television Channels and Access Air-Plan

 


Copyright © 2007 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, P.O.BOX 74, Songea, TEL: 025 - 2602238/2602256,2602641, FAX: 025-2602144

[Go Home][WebMaster ]