Posted on: January 15th, 2025
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahmed Abbas Ahmed, amezindua kampeni ya upandaji wa miti katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea ambayo imefanyika katika shamba la kampuni ya Aviv Tanzania Lim...
Idadi ya Watu mkoa wa Ruvuma = Idadi ya watu mkoani Ruvuma kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2022 jumla ya watu 1,848,794 kati yao wanaume 902,298 na wanawake 946,496