Posted on: January 17th, 2026
Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, amesema serikali inatambua umuhimu wa mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya Mbambabay kwa wananchi wa Wilaya ya Nyasa na Mkoa wa Ruvuma kwa ujumla.
...
Idadi ya Watu mkoa wa Ruvuma = Idadi ya watu mkoani Ruvuma kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2022 jumla ya watu 1,848,794 kati yao wanaume 902,298 na wanawake 946,496