• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

BALOZI wa Malawi afanya ziara Nyasa

Imewekwa kuanzia tarehe: December 6th, 2025

Balozi wa Tanzania nchini Malawi Mhe.Agnes Richard Kayola amefanya ziara rasmi ya Kikazi Wilayani Nyasa kwa lengo la kuona fursa za uwekezaji,raslimali zilizopo na kukiri kuwa iwapo zitatumiwa vyema zinaweza kuchechemua uchumi kuanzia ngazi ya Kaya.

Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Mhe.Peres Boniphace Magiri akiwasilisha taarifa kwa Mhe.Balozi Kayola amesema uchumi wa Nyasa kwa 75% unatokana na Kilimo cha  mazao ya chakula kama Mahindi,maharage,Karanga na Mazao ya biashara ikiwemo Kahawa na Korosho kwa uchache

Mhe.Magiri ameongeza kuwa sehemu ya uchumi inatokana na Uvuvi kutokana na uwepo wa Ziwa Nyasa,uchimbaji wa madini,Utalii wa kisiwa cha Lundo huku akibainisha fursa mpya za uchumi kama usafiri na usafirishaji,usindikaji wa Mazao ya ziwani, uwekezaji wa hoteli kutokana na uwepo wa fukwe kando ya ziwa Nyasa,usambazaji na uuzaji wa bidhaa za viwandani,usindikaji wa Matunda na usindikaji wa Mazao ya Kilimo.

Akiongea na wafanyabiashara Mhe.Balozi Kayola amewataka kuwa wazalendo kwa kuzitangaza na kutumia fursa zilizopo nchini, kuangalia hali ya ulinzi na Usalama ili kufanyabiashara zao bila Vikwazo na kulinda mitaji yao,kuzitumia fursa za Mazao kwa kufuata Sheria na taratibu zilizopo na fursa za usafiri na usafirishaji

Aidha,Mhe.Balozi Kayola ametoa rai kwa Watanzania kuendelea kuchapa kazi kuiunga mkono Serikali iliyopo Madarakani kwa vitendo kwa uthubutu wa Kujenga Bandari kubwa inayogharimu kiasi cha fedha zaidi ya  Shilingi bilioni 80 kwani inakwenda kuchagiza Sekta ya  usafiri na usafirishaji wa bidhaa mbalimbali kwa mataifa ya Malawi, Msumbiji, Zambia na Tanzania na kuimarisha zaidi maeneo ya Kimkakati ikiwemo Viwanda, Bandari,bidhaa za Mazao na bidhaa za usindikaji.

Wakiongea kwa niaba ya wafanyabiashara Vincent Muli na Gabliel Mathius wamemwomba Mhe.Balozi kwa kushirikiana na Serikali ya Jamhuri ya Malawi kuboresha Mazingira ya Kibiashara ili kuwarahisishia wafanyabiashara ikiwemo Kujenga Soko la Kimataifa Wilayani Nyasa ili nchi jirani za Msumbiji,Malawi na Zambia kuja kuchukua na kuleta bidhaa.

Afisa Uhamiaji Wilaya ya Nyasa Albert Masao ametoa wito kwa wafanyabiashara kufanyabiashara halali ikiwemo kuingia kwenye mipaka ya mataifa mengine kisheria wakiwa na hati za Kimataifa za Kusafiria badala ya kutumia hati za dharula.

Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Nyasa Khalid A.Khalif amewataka wafanyabiashara kushirikiana na mamlaka zinazowahudumia ikiwemo Ofisi za biashara za Wilaya na Mamlaka ya Mapato ili kupata Suluhu ya Mambo yao.

Mhe.Balozi Kayola akiwa  Wilayani Nyasa ametembelea fukwe zilizopo kandakando ya ziwa Nyasa,Kisiwa cha Lundo,eneo la uwekezaji la Bio Camp,Ujenzi wa Bandari kubwa inayogharimu fedha za kitanzania zaidi ya Bilioni 80,Ofisi za Uhamiaji pamoja na kuongea na wafanyabiashara.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma May 31, 2026
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MIJUSI wakongwe zaidi Duniani wagundulika Bonde la Ruhuhu

    January 14, 2026
  • RUVUMA yatoka gizani umeme wageuka nguzo ya mapinduzi ya kiuchumi

    January 14, 2026
  • TAKWIMU sahihi kusaidia utekelezaji afue za lishe

    January 13, 2026
  • MITI iliyojigeuza mawe Ruvuma hazina adimu y utalii wa Dunia

    January 13, 2026
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Toto Slot
  • AXL777
  • AERO88
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • DORA77
  • Toto Slot
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • AXL777
  • AXL777
  • KOI200
  • KOI200
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • AERO88
  • Situs Toto Slot
  • Situs Toto Slot
  • Situs Toto Slot
  • Situs Toto Slot
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Toto
  • DANATOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • toto slot
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto