• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

BILIONI 43 zinavyotekeleza miradi ya TARURA Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: April 1st, 2023

Barabara mpya inayounganisha vijiji mbalimbali na mji wa Tunduru ikiwa ni jitihada za wakala wa Barabara za vijijini na mijini Tarura kuufikisha mawasiliano katika maeneo yote.

WAKALA wa Barabara za vijijini na mijini(TARURA)mkoa wa Ruvuma,katika kipindi cha miaka miwili ya Serikali ya awamu ya sita ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan,umepokea jumla ya Sh. bilioni 43,924,114,171.33 kwa ajili ya matengenezo na ukarabati  wa barabara.

Hayo yamesemwa na Meneja wa Tarura mkoani Ruvuma Wahabu Nyamzungu,wakati akitoa taarifa ya  utekelezaji wa miundombinu ya Barabara zinazosimamiwa na Tarura katika kipindi cha miaka miwili ofisini kwake mjini Songea.

Nyamzungu alisema, fedha hizo zimeiwezesha Tarura kufanya matengenezo  ya barabara kwa kiwango cha changarawe urefu wa kilomita 482.132,ujenzi wa barabara za lami  kilomita 25.053,ujenzi wa madaraja 40 na ujenzi wa mifereji mita 3,400.

Matangazo

  • RATIBA ya Mwenge wa Uhuru mwaka 2023 March 31, 2023
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara June 30, 2023
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma September 30, 2023
  • WALIOCHAGULIWA kidato cha kwanza March 31, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • SEKONDARI mpya ya mfano Manispaa ya Songea

    June 06, 2023
  • TARURA Namtumbo yaendelea kufungua barabara mpya

    June 06, 2023
  • MNADA wa kwanza wa ufuta Tunduru waingiza bilioni tatu

    June 06, 2023
  • WAZAZI Tunduru waishukuru serikali kwa fedha za ujenzi wa madarasa

    June 06, 2023
  • Tazama zote

Video

HAIJAWAHI kutokea Namtumbo wanunua ufuta kilo sh.4105,wapongeza mfumo wa stakabadhi
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: 0252602256

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.