• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

CHALAMILA kuzindua ofisi mpya ya TAKUKURU Nyasa

Imewekwa kuanzia tarehe: October 9th, 2025

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Bw. Crispin  Chalamila, amewasili mkoani Ruvuma kwa ziara ya kikazi ya siku kadhaa yenye lengo la kuimarisha mapambano dhidi ya rushwa na kuongeza uwajibikaji katika matumizi ya rasilimali za umma.
Kulingana na ratiba ya ziara yake Oktoba 9, Bw. Chalamila ataongoza uzinduzi wa jengo jipya la ofisi ya TAKUKURU Wilaya ya Nyasa, mradi unaolenga kusogeza huduma karibu na wananchi na kuongeza ufanisi wa kiutendaji.

Akizungumza jana mjini Songea baada ya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Abbas Ahmed, Chalamila alisema licha ya changamoto ya upungufu wa watumishi ikilinganishwa na ukubwa wa mkoa wa Ruvuma, taasisi yake imeendelea kufanya kazi kwa weledi kutokana na ushirikiano wa karibu kutoka kwa viongozi wa serikali na wadau wa maendeleo.

“Tumejipanga kuongeza nguvu kwenye kuzuia rushwa kabla haijatokea. Tunafanya hivyo kwa kutoa elimu kwa umma ili wananchi watambue madhara ya rushwa na wajue wajibu wao katika kulinda mali ya umma,” alisema Chalamila.

Aliongeza kuwa TAKUKURU ina jukumu la kuzuia, kuchunguza na kutoa elimu dhidi ya rushwa, na mkazo wa sasa ni kuzuia upotevu wa rasilimali kwa kupitia kampeni za elimu vijijini na mijini.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Abbas, alisema ziara ya Chalamila ni ishara ya dhamira ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kupambana na rushwa kwa vitendo.

“Ujenzi wa ofisi mpya za TAKUKURU katika wilaya ya Nyasa ni hatua muhimu ya kuimarisha uwajibikaji. Tunataka kila mwananchi awe karibu na taasisi hii ili kurahisisha utoaji wa taarifa na kufuatilia miradi yao ya maendeleo,” alisema Brigedia Jenerali Abbas.

Alibainisha kuwa mkoa wa Ruvuma umeweka mfumo wa vituo vya taarifa na vikao vya ushirikishwaji vinavyowawezesha wananchi kushiriki katika ufuatiliaji wa miradi.

Aidha, Chalamila alisisitiza kuwa ujenzi wa ofisi ya TAKUKURU Nyasa ni sehemu ya mpango wa kitaifa wa kuboresha miundombinu ya taasisi hiyo, ambapo ofisi 14 mpya zinatarajiwa kukamilika kote nchini ifikapo mwisho wa mwaka 2025.

“Tunataka kila wilaya nchini iwe na ofisi ya kudumu ya TAKUKURU ifikapo mwaka 2026. Hii itarahisisha mapambano ya rushwa katika ngazi zote,” alisisitiza.

Kwa sasa, mkoa wa Ruvuma una ofisi za TAKUKURU katika wilaya zote isipokuwa mbili, na ujenzi wa ofisi hizo unaendelea. Wananchi wa Nyasa wameelezwa kuwa uzinduzi wa ofisi yao mpya utarahisisha upatikanaji wa huduma na kuimarisha uchunguzi wa tuhuma za rushwa katika miradi ya maendeleo.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RAS Ruvuma atoa maagizo ya dawakinga

    November 15, 2025
  • RAS Ruvuma aagiza Taasisi za umma kuwa na Hatimiliki

    November 14, 2025
  • RAS Ruvuma apongeza usimamizi wa miradi Maniispaa ya Songea

    November 14, 2025
  • TADB yaelimisha wakulima kuhusu fursa za kifedha Songea

    November 14, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Toto Slot
  • AXL777
  • AERO88
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200