• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

CRDB yagusa mioyo ya wanafunzi Mbinga

Imewekwa kuanzia tarehe: October 8th, 2025

Katika mwendelezo wa dhamira yake ya kuwekeza kwa jamii kupitia programu ya “KETI JIFUNZE,” Benki ya CRDB imekabidhi viti na meza 40 kwa Shule ya Sekondari Mbinga,iliyopo katika Halmashauri ya Mji wa Mbinga  mkoani Ruvuma hatua inayolenga kuboresha mazingira ya kujifunzia na kuinua ubora wa elimu nchini.

Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo, Meneja wa Kanda wa CRDB, Ndg. Denis Mwoleka, alisema benki  hiyo imejikita katika kusaidia sekta za Elimu, Afya na Mazingira, ikiunga mkono jitihada za Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuimarisha miundombinu ya elimu nchini.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mbinga, Bi. Amina Seif, alitoa shukrani kwa niaba ya Serikali na jamii ya Mbinga, akisisitiza umuhimu wa utunzaji wa miundombinu hiyo ili iwanufaishe wanafunzi wengi zaidi.

Kwa upande wake, Mkuu wa Shule, Ndg. Agapiti Kindunda, aliipongeza CRDB kwa mchango huo muhimu unaopunguza changamoto ya uhaba wa viti na meza, akiahidi kuimarisha usimamizi na malezi ya wanafunzi katika matumizi sahihi ya vifaa hivyo.

 CRDB inaendelea kuthibitisha kuwa elimu bora inaanzia kwenye mazingira bora ya kujifunzia.

#CRDB #KetiJifunze #ElimuBoraKwaWote #Mbinga #TanzaniaInaendelea #SamiaNiKaziTu #CSR #MotishaYaElimu

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RAS Ruvuma atoa maagizo ya dawakinga

    November 15, 2025
  • RAS Ruvuma aagiza Taasisi za umma kuwa na Hatimiliki

    November 14, 2025
  • RAS Ruvuma apongeza usimamizi wa miradi Maniispaa ya Songea

    November 14, 2025
  • TADB yaelimisha wakulima kuhusu fursa za kifedha Songea

    November 14, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Toto Slot
  • AXL777
  • AERO88
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200