• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

FURSA lukuki za uwekezaji mkoani Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: January 7th, 2022

MKOA wa Ruvuma unatajwa kuwa na fursa lukuki za biashara na uwekezaji katika Halmashauri zote nane ambazo zinawawezesha wawekezaji kuwekeza katika shughuli mbalimbali zinazoweza kuchochea ukuaji wa uchumi.

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ib uge amezitaja fursa hizo kuwa zipo katika sekta ya kilimo, biashara, ufugaji,utalii,madini,misitu,mawasiliano,umeme wa maporomoko ya maji,uvuvi,viwanda,uendelezaji wa makazi,usafiri na usafirishaji.

Brigedia Jenerali Ibuge amesema katika Mkoa wa Ruvuma kuna maeneo yanayofaa kwa ujenzi wa viwanda vikubwa,vya kati na vidogo,maeneo ya usambazaji na uuzaji wa bidhaa za viwandani hivyo kuvutia wawekezaji

Kulingana na Mkuu wa Mkoa,maeneo yanayofaa kwa uwekezaji katika sekta kilimo ameyataja kuwa ni  usindikaji wa mazao ya chakula hasa mazao ya tangawizi,mafuta,mbogamboga na matunda.

“Serikali imeendelea na jitihada za kuhakikisha kuwa miundombinu ya barabara na madaraja mkoani Ruvuma inaimarishwa ili kuhakikisha shughuli za usafiri na usafirishaji wa watu na bidhaa mbalimbali kwa ajili ya kuinua uchumi na kupunguza umasikini’’,alisisitiza Ibuge.

Akizungumzia kuhusu meli katika ziwa Nyasa,Brigedia Jenerali Ibuge amesema serikali imenunua meli tatu zinazofanyakazi katika ziwa Nyasa kati hizo meli mbili za mizigo na meli moja ya abiria ambapo meli hizo zinachochea uchumi wa wananchi wanaoishi mwambao mwa ziwa Nyasa na Mkoa wa Ruvuma kwa ujumla.

Kuhusu usafiri wa anga,Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma amesema serikali kupitia shirika la Ndege ATCL, imeanzisha safari za ndege mpya mara tatu kwa wiki kati ya Songea na mikoa mingine ya jirani.

Amesema kuimarika kwa safari za anga mkoani Ruvuma kuna fungua fursa za biashara na utalii hivyo kuinua uchumi wa wananchi wa Ruvuma na Taifa kwa ujumla

Imeandikwa na Albano Midelo

Afisa Habari Mkoa wa Ruvuma

Januari 7,2022

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara July 31, 2022
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma July 31, 2022
  • MKATABA wa Lishe Mkoa wa Ruvuma June 30, 2022
  • ILANI ya Chama Cha Mapinduzi CCM ya mwaka 2020/2025 August 31, 2021
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DKT.Lawrence Gama alivyoacha kumbukumbu zinazoishi Ruvuma

    May 24, 2022
  • SERIKALI yakabidhi vifaa tiba mtandao hospitali ya Rufaa Ruvuma

    May 23, 2022
  • TFS Kusini yapanda miti milioni 4.3

    May 23, 2022
  • MAAFISA Ugani Ruvuma wapewa mafunzo,wakabidhiwa pikipiki 282

    May 23, 2022
  • Tazama zote

Video

MSEMAJI Mkuu wa Serikali apongeza Mkoa wa Ruvuma kwa kuongoza habari mtandaoni
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 74 Songea

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: 0252602256

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.