• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

HOSPITALI ya Kibong'oto kuchunguza kifua kikuu kwa wachimbaji wa madini Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: October 6th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Abbas Ahmed, amesema wataalamu kutoka hospitali maalumu ya taifa ya magonjwa ambukizi ya Kibong’oto, wataendesha uchunguzi wa ugonjwa wa kifua kikuu kwa wachimbaji wa madini na jamii zinazozunguka migodi kuanzia Oktoba 6 hadi 10.

Akifungua kikao kazi cha wataalamu kuhusu athari za vumbi la silica na magonjwa ya mapafu kwa jamii za wachimbaji wa madini, kilichofanyika katika ukumbi wa Songea Club, mjini Songea, amesema huduma hiyo itahusisha utoaji wa elimu ya afya kuhusu magonjwa ya mapafu yanayosababishwa na vumbi, hasa katika mazingira ya migodini.

“Zoezi hili pia litahusisha uhamasishaji wa jamii katika kudhibiti visababishi vya magonjwa sugu ya mapafu na kuimarisha mfumo wa uchunguzi wa mapema. Nitoe wito kwa wataalamu wote watakaopata fursa hiyo kuijitoa bila kuchoka ili kuhakikisha zoezi hili linafanyika kwa mafanikio makubwa,” alisema Brig. Jen. Ahmed.

Ameipongeza hospitali ya Kibong’oto kwa ushirikiano wao na serikali, akisema ni nyenzo muhimu katika kujenga mbinu madhubuti za kinga, uchunguzi na tiba kwa jamii hasa kwa magonjwa ambukizi kama kifua kikuu na yanayotokana na vumbi la migodini ikiwa Ruvuma ni moja ya mikoa yenye migodi ya madini.

Naye Mkurugenzi wa Hospitali ya Kibong’oto, Dkt. Leonard Subi, amesema uchunguzi wa ugonjwa wa kifua kikuu utafanyika kupitia huduma ya kliniki inayotembea (Mobile Clinic) katika halmashauri za Songea na Mbinga, pamoja na maeneo ya migodi ya makaa ya mawe yaliyopo mkoani Ruvuma.

Ameeleza kuwa huduma hiyo itatolewa bila malipo, na kwa wale watakaobainika kuwa na ugonjwa huo, watapatiwa matibabu na kuunganishwa na vituo vya afya pale inapohitajika.

Kwa upande wake, Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma, Bi. Mary Makondo, amesema uwepo wa wataalamu hao mkoani humo ni ushahidi wa dhamira ya pamoja ya wadau wa maendeleo katika kulinda afya za wananchi katika kuhakikisha shughuli za kiuchumi, ikiwemo uchimbaji wa madini, haziwi chanzo cha madhara kwa jamii.

Mpango huo unalenga kuhakikisha afya za wachimbaji wa madini na jamii zinazowazunguka zinalindwa ipasavyo kwa kuwa ndio walio kwenye hatari zaidi ya kuathirika na vumbi la migodini.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RAS Ruvuma atoa maagizo ya dawakinga

    November 15, 2025
  • RAS Ruvuma aagiza Taasisi za umma kuwa na Hatimiliki

    November 14, 2025
  • RAS Ruvuma apongeza usimamizi wa miradi Maniispaa ya Songea

    November 14, 2025
  • TADB yaelimisha wakulima kuhusu fursa za kifedha Songea

    November 14, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Toto Slot
  • AXL777
  • AERO88
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200