ichani Mgombea mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi, wa pili kulia, akiwa na viongozi mbalimbali wakati akiwasili katika uwanja wa ndege wa Songea, mkoani Ruvuma, kwa ajili ya kuendelea na kampeni kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29. Kushoto mwenye tabasamu ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Ahmed Abbas Ahmed
Akiwa mkoani hapa, Dkt. Nchimbi anatarajiwa kuungana na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuendelea na Kampeni.

Regional Commissioner Office
Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.
Simu: 0252602256
Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174
Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz
Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.