• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MIKAKATI ya Uboreshaji wa Elimu Ruvuma yaleta matokeo chanya

Imewekwa kuanzia tarehe: September 15th, 2022

MKOA wa Ruvuma umeweka mikakati ya kuinua ubora wa Elimu  na kuongeza Taaluma Kitaifa.

Akizungumza Afisa Elimu Mkoa wa Ruvuma Hakimu Mafuru amesema Mkoa wamejipanga katika ufuatiliaji  wa utekelezaji wa Mtaala wa Elimu katika ngazi za Elimu za Halmashauri.

Amesema mikakati hiyo ni pamoja na kuhimiza na kufuatilia ufayikaji wa mitihani  ya upimaji wa mara kwa mara kwa madarasa yote,kutoa ushauri wa Halmashauri kufanya urekebishaji wa ikama  ya walimu.

Kuhimiza utoaji wa motisha kwa wanafunzi na walimu Shule na Halmashauri zinazofanya vizuri kwenye taaluma pamoja na kuhamasisha wananchi kuhusu umuhimu wa utoaji wa chakula kwa wanafunzi  wawapo Shuleni wakati wa mchana.

Afisa Elimu ameelezea changamoto katika Sekta ya Elimu  ikiwemo  wazazi kuhamia Mashamabani mbali na Shule na kuacha wanafunzi peke yao hivyo husababisha  kuwa utoro  na kuacha masomo.

Amesema baadhi ya wazazi kutochangia chakula  upungufu wa walimu hasa katika Shule za Msingi,Kutokuwa na Shule za bweni zinazokidhi mahitaji pamoja na upungufu wa miundombinu,samani na hosteli.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka kitengo cha Mawasiliano  Serikalini Ofisi ya Mkuu wa Mkao wa Ruvuma

Septemba 16,2022.

Matangazo

  • RATIBA ya Mwenge wa Uhuru mwaka 2023 March 31, 2023
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara June 30, 2023
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma September 30, 2023
  • WALIOCHAGULIWA kidato cha kwanza March 31, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ZIARA ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (LAAC) Manispaa ya Songea

    April 01, 2023
  • WAKULIMA Ruvuma kuondokana na changamoto ya upatikanaji wa mbegu bora

    April 01, 2023
  • BILIONI 43 zinavyotekeleza miradi ya TARURA Ruvuma

    April 01, 2023
  • SIMBA wawili kuwasili Ruhila Zoo Songea kabla ya Pasaka

    April 01, 2023
  • Tazama zote

Video

RAIS SAMIA alivyomaliza kero ya maji Songea
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 74 Songea

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: 0252602256

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.