• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKOA Ruvuma wafikia asilimia 83 sensa

Imewekwa kuanzia tarehe: August 27th, 2022

Mkoa wa Ruvuma umefikia asilimia 82 ya lengo la kuhesabu kaya 450,000.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas wakati anakagua mwenendo wa sensa katika vijiji vya Kitanda Wilaya ya Mbinga na kijiji cha Linda Wilaya ya Nyasa 

Amelitaja lengo la serikali ni kuhakikisha kila mwananchi anahesabiwa .

”Kwa taarifa za kitaifa za asubuhi ya Agosti 27 Mkoa wa Ruvuma tumeshahesabu kaya kwa zaidi ya asilimia 82”,alisema Kanali Laban.

Hata hivyo amesema kwa muda uliobaki Mkoa unaweza kufikia lengo la kuhesabu kaya zaidi ya 450,000.

Awali Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Aziza Mangasongo alisema Halmashauri ya Mji Mbinga ilitarajia kuhesabu kaya zaidi ya 33,000 ambapo hadi sasa kaya zaidi ya 27,000 zimehesabiwa 

Mheshimiwa Mangasongo amesema Katika Wilaya ya Nyasa yenye kata 18 hadi kufikia Agosti 27,kata 16 zimehesabiwa na makarani wanakamilisha kazi ya kuhesabu kata mbili zilizobakia.

Sensa ya watu ilianza nchini kote Agosti 23 na inatarajia kukamilika Agosti 29.

Imeandikwa na Albano Midelo,Afisa Habari Kitengo cha Mawasiliano Serikalini 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara June 30, 2023
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma September 30, 2023
  • WALIOCHAGULIWA kidato cha kwanza March 31, 2023
  • UTARATIBU wa kupandisha hadhi barabara June 30, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Ujenzi wa Stendi mpya ya kisasa Songea-DC

    February 02, 2023
  • UJENZI wa Vyumba vya Madarasa

    February 02, 2023
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA SHERIA MKOANI RUVUMA

    February 01, 2023
  • MATUKIO picha

    January 31, 2023
  • Tazama zote

Video

BARABARA ya Songea -Msumbiji kuanza kujengwa
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 74 Songea

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: 0252602256

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.