• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKURUGENZI Mkuu wa TAKUKURU yupo Ruvuma kwa ziara ya kikazi

Imewekwa kuanzia tarehe: October 8th, 2025

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Bw. Crispin Francis Chalamila, amewasili mkoani Ruvuma kwa ziara ya kikazi ikiwemo kuzindua jengo jipya la ofisi ya TAKUKURU Wilaya ya Nyasa.

Katika mazungumzo yake na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Abbas Ahmed, yaliyofanyika ofisini kwake mjini Songea, Bw. Chalamila ameeleza kuwa licha ya changamoto ya upungufu wa watumishi ikilinganishwa na ukubwa wa mkoa, utekelezaji wa majukumu ya taasisi hiyo umekuwa ukitegemea kwa kiasi kikubwa ushirikiano kutoka kwa viongozi wa ngazi mbalimbali na wadau wa maendeleo katika mkoa.

Bw. Chalamila amewahimiza viongozi wa mkoa kuendeleza mshikamano na kutoa usaidizi kwa TAKUKURU ili taasisi hiyo iendelee kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi na kwa kuzingatia weledi.

Amesema TAKUKURU ina jukumu la kuzuia rushwa, kutoa elimu kwa umma na kuchunguza ubadhilifu wa rasilimali, hivyo kwa sasa, taasisi hiyo imeweka mkazo kwenye kuzuia rushwa kwa kutoa elimu, hatua itakayosaidia kuepuka hasara kutokana na ubadhilifu wa mali za umma.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Abbas Ahmed, ameeleza kuwa ziara hiyo ni ishara ya dhamira ya serikali katika kuimarisha vita dhidi ya rushwa akisema uwekezaji katika miundombinu ya TAKUKURU, ikiwemo ujenzi wa ofisi za wilaya, ni hatua muhimu katika kusogeza huduma karibu na wananchi, kuimarisha uwajibikaji, na kuongeza ufanisi wa usimamizi wa miradi ya maendeleo.

Pamoja na mambo mengine amemuhakikishia Mkurugenzi wa TAKUKURU kuwa mkoa wa Ruvuma unatambua mchango mkubwa wa taasisi hiyo katika kusimamia matumizi sahihi ya rasilimali za umma na kuendeleza utawala bora.

Amebainisha kuwa mkoa huo umejenga utamaduni wa kushirikiana kwa karibu na TAKUKURU, ikiwemo kuhakikisha miradi ya maendeleo inatekelezwa kwa uwazi na wananchi wanashiriki kikamilifu katika ufuatiliaji kupitia vituo vya taarifa na vikao vya ushirikishwaji.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RAS Ruvuma atoa maagizo ya dawakinga

    November 15, 2025
  • RAS Ruvuma aagiza Taasisi za umma kuwa na Hatimiliki

    November 14, 2025
  • RAS Ruvuma apongeza usimamizi wa miradi Maniispaa ya Songea

    November 14, 2025
  • TADB yaelimisha wakulima kuhusu fursa za kifedha Songea

    November 14, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Toto Slot
  • AXL777
  • AERO88
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200