• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MRADI wa Treni ya kisasa kutoka Mtwaea hadi Mbambabay

Imewekwa kuanzia tarehe: July 21st, 2021

Dola milioni 6 za SADC kujenga reli

Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imetoa dola milioni sita za kimarekani kwa ajili ya kufanya upembuzi yakinifu wa ujenzi wa reli ya kimataifa ya Mtwara mpaka Mbambabay.

Kauli hiyo imetolewa mkoani Dar es Salaam na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Jamal Kassim Ali alipokuwa akizungumza na Waandishi wa habari, kando ya kikao cha SADC kinachohusisha Mawaziri wa Fedha na Uwekezaji wa nchi wanachama wa jumuiya hiyo.

“jambo kubwa ambalo ningependa mjue ni kwamba katika mwendelezo wa vikao hivi wenzetu wa SADC wameweza kutupatia takribani dola milioni 6 kwa ajili ya kufanya upembuzi yakinifu wa ujenzi wa reli ya Mtwara mpaka Mbambabay ambayo itajengwa ili kurahisisha na kuifungua Mtwara na kanda hii ya Kusini kiuchumi, na mpaka sasa tayari SADC wametupatia pesa hizo.” amesema Waziri Jamal.

Ameongeza kuwa katika vikao vilivyopita mambo mbalimbali yamejadiliwa ikiwa ni pamoja na kuanzishwa kwa mfuko wa maendeleo wa nchi Wanachama wa SADC, wenye lengo la kuchochea maendeleo katika nchi Wanachama na kuzitaka nchi zote za Jumuiya hiyo kushirikiana kuhakikisha mfuko huo unaendelezwa.

“Sisi kama Tanzania kama ambavyo tumekuwa vinara katika kuhakikisha masuala ya ukombozi wa SADC kisiasa, sasa tunakwenda na ajenda hii tuwe vinara katika ukombozi wa kisiasa lakini pia ukombozi wa kiuchumi, tunaomba ushirikiano wa nchi zote Wanachama wa Jumuiya ya SADC katika kufanikisha jambo hili.” amesema Waziri Jamal.

Matangazo

  • RATIBA ya Mwenge wa Uhuru mwaka 2023 March 31, 2023
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara June 30, 2023
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma September 30, 2023
  • WALIOCHAGULIWA kidato cha kwanza March 31, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAKULIMA wa Ufuta washauriwa kuzalisha kwa wingi msimu ujao

    June 08, 2023
  • SERIKALI yawajengea uwezo Maafisa tehama na Maafisa habari-Mkoa Ruvuma

    June 08, 2023
  • TUMIENI mfumo wa stakabadhi ghalani-RC RUVUMA

    June 08, 2023
  • HABARI picha

    June 08, 2023
  • Tazama zote

Video

HAIJAWAHI kutokea Namtumbo wanunua ufuta kilo sh.4105,wapongeza mfumo wa stakabadhi
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: 0252602256

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.