• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

NMB Kanda ya Kusini yazindua wiki ya Huduma kwa Wateja mkoani Ruvuma,yatoa msaada wa bati 200

Imewekwa kuanzia tarehe: October 4th, 2021

WATEJA wa  Benki ya NMB Kanda ya Kusini wameungana na Dunia nzima kuadhimisha Juma la Huduma kwa Wateja ambalo limefanyika katika Tawi la NMB mjini Songea.

Mgeni rasmi katika ufunguzi wa maadhimisho hayo Oscar Nyirenda ambaye ni Afisa Mkuu Udhibiti wa Hatari na Utekelezaji kutoka NMB Makao makuu akizungumza katika hafla hiyo amesema kila mwaka  Juma la Huduma kwa wateja hufanyika wiki ya kwanza ya Mwezi Oktoba ambapo mwaka huu ni kuanzia Oktoba nne hadi nane mwaka huu.

‘’Maadhimisho ya Juma la Huduma kwa wateja yanafanyika kote ulimwenguni katika Taasisi zote za kifedha na nyinginezo,kauli mbiu ya  Huduma kwa wateja mwaka huu inasema nguvu ya huduma’’.alisema Nyirenda.

Hata hivyo amesema ili kuendelea kuwa mbele katika utoaji wa huduma kwa wateja wa NMB, katika maadhimisho hayo kumezinduliwa Hati ya kiapo cha huduma kwa wateja ili kuonesha kwa vitendo nguvu ya  huduma kwa wateja.

Nyirenda Ameyataja mambo muhimu yaliyopo katika kiapo hicho ni kuahidi  hupatikanaji wa huduma za uhakika ndani ya NMB kwa wateja wote,kuendelea kuwa wasikivu kwa wateja,kuendelea kuwa na uhakika wa kuaminika,kutoa huduma kwa waledi na nidhamu ya hali ya juu na kuendelea kuwa na usalama wa taarifa za mteja ndani ya Benki.

Akizungumza katika hafla hiyo Mwenyekiti wa NMB Bussiness Club mkoani Ruvuma Michael West,ameipongeza NMB kwa kutoa huduma bora na za uhakika ikiwemo kuwapokea na kuwasikiliza wateja wake bila ubaguzi.

Katika hatua nyingine Benki ya NMB imetoa msaada wa mabati 200 ya geji 28 na urefu wa meta tatu yenye thamani ya zaidi ya  shilingi milioni  sita katika shule ya Msingi Mfaranyaki iliyopo Manispaa ya Songea.

Mwakilishi kutoka NMB Makao makuu Oscar Nyirenda  amesema NMB imeamua kutoa msaada huo kwa kutambua janga la madarasa yaliyoezuliwa  katika shule hiyo Januari mwaka huu.

Mkuu wa Shule hiyo Majid Ngonyani ameishukuru Benki ya NMB kwa msaada huo ambapo amesema mwaka mmoja uliopita NMB pia ilitoa msaada wa madawati 57 yenye thamani ya shilingi milioni tano katika shule hiyo hivyo kuondoa upungufu wa madawati uliokuwepo.

Imeandikwa na Albano Midelo,Songea

Oktoba 4,2021

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara June 30, 2023
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma September 30, 2023
  • WALIOCHAGULIWA kidato cha kwanza March 31, 2023
  • UTARATIBU wa kupandisha hadhi barabara June 30, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RAIS SAMIA alivyodhamiria kuwekeza tena kwenye elimu ya sekondari

    March 24, 2023
  • CHIFU wa Tano wa kabila la wangoni Emanuel Zulu Gama

    March 24, 2023
  • MAABARA ya kisasa katika sekondari ya Lusonga Mbinga

    March 23, 2023
  • TUFANYE utalii wa ndani tusisubiri wageni kutoka nje

    March 24, 2023
  • Tazama zote

Video

RAIS SAMIA alivyomaliza kero ya maji Songea
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 74 Songea

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: 0252602256

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.