• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RAS Ruvuma apongeza usimamizi wa miradi Maniispaa ya Songea

Imewekwa kuanzia tarehe: November 14th, 2025

 Mradi wa ukamilishaji wa miundombinu ya Shule ya Msingi Shikizi Lilambo B Manipspaa ya Songea mkoani Ruvuma  umeingia katika hatua ya mwisho, ukigharimu shilingi milioni 32.2, ikiwa ni juhudi za Serikali na Halmashauri kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa watoto wa eneo hilo.

Akitoa taarifa kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma, Bi. Mary Makondo, aliyefanya ziara ya ufuatiliaji wa miradi mbalimbali katika Manispaa ya Songea, Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Marthai Lipa, alisema fedha hizo zinatokana na vyanzo viwili  ambapo  shilingi milioni 25 zikitolewa na Serikali Kuu, huku shilingi milioni 7.2 zikitokana na mapato ya ndani ya Halmashauri.

Mwalimu Martha alieleza kuwa fedha hizo zimetumika kukamilisha vyumba viwili vipya vya madarasa, kukarabati vyumba viwili vya madarasa vya zamani, kujenga ofisi moja ya walimu, na kununua madawati ya walimu .

Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma, Bi. Makondo, ameridhishwa  na hatua iliyofikiwa, akiwapongeza walimu na kamati ya shule kwa usimamizi bora wa fedha na utekelezaji wa mradi huo kwa uwazi.

Shule ya Msingi Shikizi Lilambo B, ambayo ina zaidi ya wanafunzi 700, imekuwa ikikabiliwa na changamoto za uhaba wa vyumba vya madarasa na miundombinu chakavu kwa miaka kadhaa. Kupitia mradi huu, changamoto hizo zinatarajiwa kupungua kwa kiasi kikubwa, huku walimu na wanafunzi wakitarajia kuanza kutumia vyumba vipya kabla ya mwisho wa mwaka huu..


Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma May 31, 2026
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • BALOZI wa Malawi afanya ziara Nyasa

    December 06, 2025
  • VIJANA Ruvuma wahimizwa kuchangamkia fursa za maendeleo

    December 06, 2025
  • BALOZI wa Tanzania nchini Malawi azungumza na RC Ruvuma

    December 05, 2025
  • RC RUVUMA awatahadharisha madiwani wapya

    December 04, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Toto Slot
  • AXL777
  • AERO88
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • DORA77
  • Toto Slot
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • AXL777
  • AXL777
  • KOI200
  • KOI200
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • AERO88
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • DORA77
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • KOI200
  • KOI200
  • YAMITOTO
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • Toto Slot Gacor
  • NABITOTO
  • AERO88 Slot Gacor