• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RUVUMA Imejipanga kudhibiti uingizaji holela wa Mifugo

Imewekwa kuanzia tarehe: September 2nd, 2022

Mkoa wa Ruvuma unaendelea kuwapanga wafugaji kwenye vitalu kwa mfumo wa ranchi ndogo na kudhibiti uingiaji holela wa mifugo.

Kwa Mujibu wa Afisa Mifugo Mkoani Ruvuma Nelson William  ameeleza kuwa wafugaji 125 wenye ng'ombe 38000 kati ya wafugaji 145 walioingia kiholela Wilayani Tunduru wakiwa na ng'ombe 62000 wamepangwa kwenye vitalu 191 sawa na Asilimia 83 ya lengo la kuwapanga wafugaji mbalimbali wa Ng’ombe,Mbuzi ,Punda na Kondoo.

Hata hivyo amesema  kumekuwepo na ongezeko la mifugo inayochungwa holela katika maeneo kadhaa ya Mkoa  yakiwemo mashamba ya wakulima na Katika hifadhi za Taifa na misitu ya kijamii, na waliopangiwa kwenye vitalu kutoka kwenye maeneo hayo  .

Amesema kuwa hali hiyo imejitokeza zaidi katika wilaya ya Namtumbo na Tunduru na Kusababisha kutoelewana baina ya wakulima na wafugaji.

Aidha,Mkoa ulibainisha njia kuu  iliyotumiwa na wafugaji hao kuingia kinyemela katika Mkoa wa Ruvuma wamepitia   kijiji cha Kitanda wilayani Namtumbo.

William alieleza kua Mkoa umeendelea kudhibiti uingiaji holela wa Mifugo kwa kuwabainisha wafanyabiashara wa Mifugo na wafugaji wanaoshiriki katika uingizaji wa mifugo kiholela

Amesema Wafanyabiashara 4 na wafugaji 13 wenye ng'ombe 1045 na mbuzi 38 kwa mwaka 2017/2018 na ng'ombe 94 mbuzi 15,kondoo 10 na punda 5 kwa kwa mwaka 2018/2019 na ng'ombe 1800 kwa mwaka 2019/2020 walikamatwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.

“Tunduru na Songea Wamechukuliwa hatua kwa kutozwa faini jumla ya shilingi 9,200,000.00 kwa mwaka 2017/2018.Shilingi 700,000.00 kwa mwaka 2018/2019 na shiling 7,000,000.00 kwa mwaka 2019/2020”.

Hata hivyo amesema Pamoha na faini hizo walirudishwa na mifugo yao huko walikotoka ikiwa  Mkoa umetenga hekta 281,217 kwa ajili ya kupokea mifugo inayoondolewa kwenye hifadhi ya misitu na maeneo ya kilimo.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara March 30, 2024
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma July 31, 2024
  • ILANI ya Chama Cha Mapinduzi CCM ya mwaka 2020/2025 October 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Thomas afanya ziara Zahanati ya Kitanda Namtumbo

    November 29, 2023
  • PROF Ndalichako akagua mradi wa ujenzi wa chuo cha wenye ulemavu Songea

    November 29, 2023
  • NDALICHAKO alivyotembelea shamba la AVIV la Kahawa Songea

    November 29, 2023
  • SHAMBA la AVIV linachangia kukuza uchumi wa wilaya ya Songea

    November 29, 2023
  • Tazama zote

Video

WAZIRI APONGEZA UWEKEZAJI MKUBWA HALMASHAURI YA MADABA
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: 0252602256

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.