• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RUVUMA Kunufaika na kilimo cha umwagiliaji

Imewekwa kuanzia tarehe: October 24th, 2025

Wakulima wadogo katika mikoa saba nchini watanufaika na mpango wa kilimo cha umwagiliaji unaolenga kuwawezesha kuondokana na utegemezi wa mvua za msimu na kuongeza uzalishaji wa mazao ya kibiashara.

Akizungumza na waandishi wa habari katika viwanja vya Dkt. John Samuel Malecela vilivyopo Nzuguni jijini Dodoma, tarehe 24 Oktoba 2025, Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Mweli, amesema mpango huo ni sehemu ya mkakati wa Serikali wa kuendeleza kilimo chenye tija kwa wakulima wadogo nchini.

Katibu Mkuu Mweli amebainisha  kuwa awamu ya kwanza ya utekelezaji wa mpango huo itahusisha mikoa saba ya Mara, Mwanza, Simiyu, Kagera, Geita, Ruvuma na Tanga, ambapo jumla ya wilaya 16 na vijiji 93 vitanufaika.

Katika awamu hiyo, wakulima 2,264 watafikiwa na jumla ya hekta 4,000 zitamwagiliwa kupitia mfumo huo wa umwagiliaji.  Baada ya miezi sita, mpango huo utaendelea katika awamu ya pili kwa mikoa mingine nchini.

Katibu Mkuu Mweli ameeleza kuwa wakulima wataunda vikundi vya ushirika ambapo kikundi cha watu 10 kitapatiwa pampu moja, huku kikundi cha watu 30 kikipewa pampu tatu.

Pampu hizo aina ya Jet 35, zenye thamani ya shilingi bilioni 3.5, zina uwezo wa kumwagilia umbali wa mita 500 kutoka chanzo cha maji na ekari moja kwa saa.  Aidha, katika awamu ya kwanza, visima 500 vitachimbwa ili kuwezesha upatikanaji wa maji ya kutosha kwa wakulima.

Katibu Mkuu Mweli ameongeza kuwa  utekelezaji wa mpango huu utasaidia kuongeza tija na uzalishaji, hasa kwa wanawake na vijana wanaojihusisha na kilimo cha mbogamboga, matunda na mazao mengine ya kibiashara.

Ameongeza kuwa Serikali inaendelea kuwekeza katika miundombinu ya umwagiliaji ili kuhakikisha wakulima hawategemei mvua, hivyo kuongeza kipato na usalama wa chakula nchini.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma May 31, 2026
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • BALOZI wa Malawi afanya ziara Nyasa

    December 06, 2025
  • VIJANA Ruvuma wahimizwa kuchangamkia fursa za maendeleo

    December 06, 2025
  • BALOZI wa Tanzania nchini Malawi azungumza na RC Ruvuma

    December 05, 2025
  • RC RUVUMA awatahadharisha madiwani wapya

    December 04, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Toto Slot
  • AXL777
  • AERO88
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • DORA77
  • Toto Slot
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • AXL777
  • AXL777
  • KOI200
  • KOI200
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • AERO88
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • DORA77
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • KOI200
  • KOI200
  • YAMITOTO
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • Toto Slot Gacor
  • NABITOTO
  • AERO88 Slot Gacor