• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WAKAZI wa Namtumbo wapokea gari la wagonjwa

Imewekwa kuanzia tarehe: April 24th, 2025

Wananchi wa vijiji vya Magazini, Sasawala, Amani na Likusanguse wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma wameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwapatia gari la kubebea wagonjwa katika Kituo cha Afya cha Magazini, hatua ambayo wamesema itapunguza vifo vinavyotokana na ucheleweshwaji wa huduma za rufaa.

Kituo hicho kiko umbali wa zaidi ya kilomita 230 kutoka makao makuu ya wilaya hiyo ambapo ndipo ilipo hospitali ya Serikali ya Wilaya ya Namtumbo.

Wakizungumza kwenye hafla ya makabidhiano, wananchi walionesha furaha yao mbele ya Mbunge wa Jimbo la Namtumbo, Mheshimiwa Vita Kawawa, ambaye ndiye aliyekabidhi gari hilo.

Chifu wa kabila la Wayao katika eneo la Magazini, Thabiti Shaibu Nnambi, alisema wamepoteza zaidi ya watu kumi kutokana na ukosefu wa gari la wagonjwa.

Alimshukuru Rais Dk. Samia Suluhu Hassan pamoja na Mbunge Kawawa kwa juhudi za kuhakikisha huduma bora zinawafikia wananchi wa maeneo ya mbali kama Magazini.

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo, Dr.Aron Hyela, alieleza kuwa Kituo cha Afya cha Magazini ni miongoni mwa vituo 60 vya huduma za afya wilayani humo na kimepokea zaidi ya Shilingi milioni 500 kwa ajili ya ujenzi wa majengo mbalimbali

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo, Jonah Katanga, alisema serikali imeendelea kuboresha huduma kwa wananchi wa kata hiyo kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waridhia miradi yote Tunduru

    May 16, 2025
  • MWENGE wa Uhuru waangaza Namtumbo

    May 15, 2025
  • AMEUONA Mwenge Songea baada ya miaka 63 ya Uhuru

    May 14, 2025
  • MWENGE wa Uhuru watingisha Manispaa ya Songea,wapitia miradi ya bilioni 1.8

    May 14, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.