• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WILAYA ya Nyasa itakavyotekeleza mpango wa pili wa kunusuru kaya masikini

Imewekwa kuanzia tarehe: April 22nd, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Mh. Isabela Chilumba amewataka Wataalamu na Viongozi kuanzia ngazi ya Vijiji, Kata na Halmashauri kusimamia zoezi la utambuzi wa kaya mpya za wanufaika wa TASAF kipindi cha pili ili  kupata wanufaika wanaostahili.

Ameyasema hayo jana Tarehe 19 Aprili, 2021 katika Ukumbi wa Kapten. John Komba wakati akifungua Kikao kazi cha kujenga uelewa kuhusu Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini Kipindi cha Pili kwa Viongozi, Watendaji na Wawezeshaji katika Ukumbi wa Kapten John Komba Mbamba bay Wilayani hapa.

Chilumba amefafanua kuwa madiwani ni viongozi ambao wako karibu na wananchi, hivyo amewataka mafunzo wanayopewa wakayatumie kushirikiana na wawezeshaji ili kupata wanufaika wanaostahili na kuacha siasa katika zoezi la uibuaji walengwa hao.

Ameongeza kuwa Mpango wa kunusuru kaya maskini kipindi cha pili kinawataka viongozi hao kuwa waaminifu na waadilifu, ili kuondokana na malalamiko ya wananchi ambao watakuwa wanalalamika endapo watachukuliwa wasio na sifa na kuachwa wenye sifa.

Ametoa wito kwa Wataalamu na Viongozi hao kusikiliza mafunzo kutoka kwa wawezeshaji ambayo yatawajengea uwezo wa kutekeleza vema majukumu katika maeneo yao.

 Wilaya ya Nyasa imefanya kikao kazi cha kujenga uelewa kuhusu Mpango wa kunusuru kaya maskini Kipindi cha pili kwa Kamati ya Ulinzi na usalama wilaya ya Nyasa, Madiwani, Wakuu wa Idara na Vitengo na Watendaji na Wawezeshaji.

Matangazo

  • RATIBA ya Mwenge wa Uhuru mwaka 2023 March 31, 2023
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara June 30, 2023
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma September 30, 2023
  • WALIOCHAGULIWA kidato cha kwanza March 31, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ZIARA ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (LAAC) Manispaa ya Songea

    April 01, 2023
  • WAKULIMA Ruvuma kuondokana na changamoto ya upatikanaji wa mbegu bora

    April 01, 2023
  • BILIONI 43 zinavyotekeleza miradi ya TARURA Ruvuma

    April 01, 2023
  • SIMBA wawili kuwasili Ruhila Zoo Songea kabla ya Pasaka

    April 01, 2023
  • Tazama zote

Video

RAIS SAMIA alivyomaliza kero ya maji Songea
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 74 Songea

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: 0252602256

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.