Imewekwa kuanzia tarehe: May 26th, 2025
Wakazi wa Mkoa wa Ruvuma wamepata neema kubwa ya huduma bora za afya baada ya kuzinduliwa rasmi kwa kambi ya madaktari bingwa na bingwa bobezi 57 kupitia mpango wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. ...
Imewekwa kuanzia tarehe: May 26th, 2025
Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma, Bi. Mary Makondo, amezindua awamu ya tatu ya kambi ya madaktari bingwa na bingwa bobezi wa Dkt. Samia katika mkoa wa Ruvuma.
Akifungua kambi hiyo ya siku sita itaka...
Imewekwa kuanzia tarehe: May 26th, 2025
Katika bonde la kijani lililojaa mandhari ya kuvutia kusini mwa Tanzania, wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma sasa inang’aa kama nyota mpya ya utalii.
Kupitia uwekezaji wa Shilingi bilioni 2.1 kutoka ...