• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

Video

  • NDONGA KIJIJI AMBACHO TANGU UHURU HAKIJAWAHI KUFIKA GARI

    October 28th, 2022

    Rais Samia awezesha gari kufika kwa mara ya kwanza ,wananchi wasema malaika ameshukaSERIKALI ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imewezesha kwa mara ya kwanza tangu uhuru gari kufika kwenye kijiji cha Ndonga Kata ya Riwundi Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma.Serikali kupitia TARURA imetoa zaidi ya shilingi milioni 200 kutengeneza barabara ambayo haikuwepo tangu nchi kupata uhuru mwaka 1961.Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amekagua barabara hiyo ambapo amemshukuru Rais kwa kufungua Mawasiliano ya barabara katika kijiji hicho ambacho kiligeuka kisiwa.Serikali katika kijiji hicho licha ya kutengeneza barabara,pia imepeleka huduma ya umeme na kujenga zahanati.

  • SONGEA WANAVYOFURAHIA NDEGE ZA ATCL

    October 27th, 2022

    Wananchi mkoani Ruvuma wameipongeza serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuweka ratiba ya safari za ndege za ATCL mara tatu kwa wiki.Abiria hao wametoa pongezi hizo wakati wanazungumza na Mwandishi wa habari hizi kwenye uwanja wa Ndege Songea.ATCL inatoa huduma za usafiri wa anga Kutoka Dar es salaam hadi Songea siku za Jumatatu,Jumatano na Ijumaa.Hata hivyo wananchi wameiomba serikali kuongeza safari kwa sababu hivi sasa abiria wanaotumia ndege za ATCL wameongezeka na ndege imekuwa inajaa.Meneja wa Uwanja wa Ndege Songea Jordan Mchami amekiri abiria ni wengi ambapo ndege yenye uwezo wa kubeba abiria 76 kila inapofika na kuondoka inabeba abiria zaidi ya 70 na kwamba wanatarajia kuanza safari za usiku.

  • MKOA WA RUVUMA WAINGIA MIKATABA 13 YA MATENGENEZO YA BARABARA

    October 21st, 2022

    Mkoa wa Ruvuma umeingia mikataba 13 na wakandarasi yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni sita kwa ajili ya kutekeleza kazi mbalimbali za matengenezo ya barabara na ujenzi wa madaraja na makaravati.Mgeni rasmi katika hafla ya kuingia mikataba hiyo iliyofanyika kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea alikuwa ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas.Meneja wa TARURA Mkoa wa Ruvuma Mhandisi Wahabu Nyamzungu amesema mikataba hiyo ni utekelezaji wa hatua ya pili kwa mwaka wa fedha wa 2022/2023.Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini TARURA Mkoa wa Ruvuma una mtandao wa kilometa 7146.22 ya mtandao mzima.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
  • 53
  • 54
  • 55
  • 56
  • 57
  • 58
  • 59
  • 60
  • 61
  • 62
  • 63
  • 64
  • 65
  • 66
  • 67
  • 68
  • 69
  • 70
  • 71
  • 72
  • 73
  • 74
  • 75
  • 76
  • 77
  • 78
  • 79
  • 80
  • 81
  • 82
  • 83
  • 84
  • 85
  • 86
  • 87
  • 88
  • 89
  • 90
  • 91
  • 92
  • 93
  • 94
  • 95
  • 96
  • 97
  • 98
  • 99
  • 100
  • 101
  • 102
  • 103
  • 104
  • 105
  • 106
  • 107
  • 108
  • 109
  • 110
  • 111
  • 112
  • 113
  • 114
  • 115
  • 116
  • 117
  • 118
  • 119
  • 120
  • 121
  • 122
  • 123
  • 124
  • 125
  • 126
  • 127
  • 128
  • 129
  • 130
  • 131
  • 132
  • 133
  • 134
  • 135
  • 136
  • 137
  • 138
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAABARA ya kisasa katika sekondari ya Lusonga Mbinga

    March 23, 2023
  • TUFANYE utalii wa ndani tusisubiri wageni kutoka nje

    March 24, 2023
  • MFUKO wa Misitu Tanzania watoa elimu ya vitalu kwa walimu Madaba

    March 23, 2023
  • WIZARA ya Afya yatoa mafunzo ya kupambana na magonjwa ya milipuko Nyasa

    March 23, 2023
  • Tazama zote

Video

RAIS SAMIA alivyomaliza kero ya maji Songea
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

Tovuti Muhimu

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.