Halmashauri ya Wilaya ya Songea kwa kushirikiana na AGATEO HOPE FOUNDATION inatekeleza mradi wa urasimishaji wa viwanja na mashamba lengo likiwa ni kuhakikisha kila kipande cha ardhi kinapimwa na kuwanufaisha wananchi na serikali.
Kamanda wa Polisi mkoani Ruvuma ACP Simon Marwa Maiga amewatahadharisha wagombea katika uchaguzi mkuu wanapofika katika mkoa huo kueleza Ilani zao kwa wananchi na kujiepusha na lugha za matusi
Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.