WAtumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Songea wametekeleza maelekezo ya Rais Dkt John Magufuli kufanya maombi maalum ya kutokomeza virusi hatari vya Corona.Rais Ametoa siku tatu za kufanya ibada za maombi maalum ya kuliombea Taifa kuepukana na balaa la virusi vya corona
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme amewaagiza watendaji wa vijini,Kata na mitaa mkoani Ruvuma kuvifunga vijiwe vyote vya michezo mbalimbali ikiwemo pool na bao ili kuepusha mikusanyiko inayoweza kuongeza maambukizo ya virusi hatari vya Corona
Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.