KONGAMANO la wanawake kanda ya kusini kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake duniani limefunguliwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme aliyewakilishwa na Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Isabela Chilumba.
Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.