• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

Video

  • WATOTO WENGI WENYE MAHITAJI MAALUM NYASA WANAFICHWA

    July 14th, 2022

    Mkuu wa Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma Kanali Thomas Laban amesikitishwa na tabia ya baadhi ya Wazazi na walezi kuwaficha watoto wenye ulemavu ndani hali inayosababisha kukosa haki yao ya msingi ya kupata elimu.Kanali Laban ameeleza masikitiko yake baada ya Watoto watatu tu wenye ulemavu wa viungo kupatikana katika Wilaya nzima yenye shule zaidi ya 100 kupokea msaada wa viti mwendo vilivyotolewa na serikali kwa lengo la kuwawezesha wenye ulemavu kuhudhuria masomo.Show less








  • “MELI KATIKA ZIWA NYASA TUMEZITENGENEZA“

    July 14th, 2022

     Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mheshimiwa Atupele Mwakibete amesema serikali imekamilisha kazi ya matengenezo ya meli katika Ziwa Nyasa hivyo Mkoa wa Ruvuma sasa unaweza kufikika kwa meli,ndege na barabara.Naibu Waziri Mwakibete alikuwa anazungumza na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge ofisini kwake mjini Songea baada ya kumaliza ziara ya kikazi mkoani Ruvuma iliyolenga ukaguzi wa ukarabati na upanuzi wa kiwanja cha Ndege cha Songea ambapo serikali imetoa zaidi ya shilingi bilioni 37 kutekeleza mradi huo.Katika hatua nyingine Naibu Waziri huyo amesema serikali imepata ahadi ya fedha kiasi cha Dola za Marekani milioni sita kutoka SADC kwa ajili ya kuanza utekelezaji wa mradi wa Reli ya kutoka Mtwara hadi Mbambabay.Amesema miradi hiyo ikikamilika ukiwemo mradi wa barabara ya Morogoro hadi Ruvuma na upanuzi wa barabara ya Songea hadi Njombe,Mkoa wa Ruvuma utakuwa moja ya Mikoa yenye miundombinu bora Tanzania.

  • BIMA ya afya ndiyo ukombozi pekee wa wananchi kuwa na uhakika wa matibabu

    July 7th, 2022
  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
  • 53
  • 54
  • 55
  • 56
  • 57
  • 58
  • 59
  • 60
  • 61
  • 62
  • 63
  • 64
  • 65
  • 66
  • 67
  • 68
  • 69
  • 70
  • 71
  • 72
  • 73
  • 74
  • 75
  • 76
  • 77
  • 78
  • 79
  • 80
  • 81
  • 82
  • 83
  • 84
  • 85
  • 86
  • 87
  • 88
  • 89
  • 90
  • 91
  • 92
  • 93
  • 94
  • 95
  • 96
  • 97
  • 98
  • 99
  • 100
  • 101
  • 102
  • 103
  • 104
  • 105
  • 106
  • 107
  • 108
  • 109
  • 110
  • 111
  • 112
  • 113
  • 114
  • 115
  • 116
  • 117
  • 118
  • 119
  • 120
  • 121
  • 122
  • 123
  • 124
  • 125
  • 126
  • 127
  • 128
  • 129
  • 130
  • 131
  • 132
  • 133
  • 134
  • 135
  • 136
  • 137
  • 138
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MIAKA Miwili ya Rais Samia madarakani madarasa 156 yajengwa

    March 19, 2023
  • MIAKA miwili ya Rais Dkt Samia madarakani sekta ya anga Ruvuma

    March 19, 2023
  • MIAKA miwili ya Rais Dkt Samia alivyoiboresha Sekta ya kilimo Ruvuma

    March 19, 2023
  • MIAKA miwili ya Rais Dkt Samia ilivyojenga sekondari mpya 11 Ruvuma

    March 18, 2023
  • Tazama zote

Video

RAIS SAMIA alivyomaliza kero ya maji Songea
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

Tovuti Muhimu

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.