Mwezeshaji Mwandamizi ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo cha Mipango na Maendeleo vijijini Dodoma Dkt Titus Mwageni ametaja maandalizi ya Mpango Mkakati wa miaka mitano wa Halmashauri ya Madaba wilaya ya Songea mkoani Ruvuma.
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ametoa rai kwa watanzania kuchukua tahadhari za kujikinga ili wasipate maambukizo ya corona ambapo tayari corona wimbi la tatu imeingia nchini.
Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.