• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

Video

  • RAIS SAMIA amteua Brigedia Generali Wilbert Augustine Ibuge kuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

    May 15th, 2021

    Rais Samia Suluhu Hassan amepangua wakuu wa mikoa na kuteua wapya akiwemo David Kafulila, Amos Makalla na Queen Sendiga ambaye aligombea urais katika uchaguzi mkuu mwaka 2020 kwa tiketi ya chama cha ADC.Taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Mei 15, 2021 na mkurugenzi wa mawasiliano ya rais Ikulu, Gerson Msigwa inaeleza kuwa wateule hao wataapishwa Ikulu, Dar es Salaam Mei 18, 2021.Kafulila kada wa zamani wa NCCR-Mageuzi na Chadema ameteuliwa kuwa mkuu wa Mkoa wa Arusha kuchukua nafasi ya Idd Kimanta aliyestaafu.Kafulila aliyeanzisha safari yake ya siasa katika vyama vya upinzani, aliwahi kuwa mbunge wa Kigoma Kusini na baadaye kuteuliwa kuwa katibu tawala wa Mkoa wa Songwe ambako mwaka 2020 aliachia nafasi hiyo na kujitosa kuwania ubunge Kigoma Kusini kwa tiketi ya CCM lakini alianguka katika kura za maoni.Katika uteuzi huo, Makalla ambaye amewahi kuwa mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ameteuliwa tena kuwa mkuu wa mkoa huo kuchukua nafasi ya Aboubakar Kunenge aliyehamishiwa Pwani kuchukua nafasi ya Evarist Ndikilo ambaye amestaafu.Queen ameteuliwa kuwa mkuu wa Mkoa wa Iringa kuchukua nafasi ya Ali Hapi aliyehamishiwa Tabora huku Rosemary Senyamule akiteuliwa kuuongoza Mkoa wa Geita akichukua nafasi ya Robert Gabriel aliyehamishiwa Mara kuendelea na wadhifa huo.

  • MILIONI 500 zilivyoboresha kituo cha afya Kalembo Mbinga

    May 15th, 2021

    Serikali imetoa shilingi milioni 500 kuboresha Kituo cha afya Kalembo wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma.Kituo hicho kilifunguliwa mwaka 2003 na Aliyekuwa Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ally Shein.

  • LITUHI moja ya makanisa makongwe mkoani Ruvuma

    May 15th, 2021

    Kanisa la Lituhi limejengwa katika kijiji cha Lituhi wilayani Nyasa mkoani Ruvuma

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
  • 53
  • 54
  • 55
  • 56
  • 57
  • 58
  • 59
  • 60
  • 61
  • 62
  • 63
  • 64
  • 65
  • 66
  • 67
  • 68
  • 69
  • 70
  • 71
  • 72
  • 73
  • 74
  • 75
  • 76
  • 77
  • 78
  • 79
  • 80
  • 81
  • 82
  • 83
  • 84
  • 85
  • 86
  • 87
  • 88
  • 89
  • 90
  • 91
  • 92
  • 93
  • 94
  • 95
  • 96
  • 97
  • 98
  • 99
  • 100
  • 101
  • 102
  • 103
  • 104
  • 105
  • 106
  • 107
  • 108
  • 109
  • 110
  • 111
  • 112
  • 113
  • 114
  • 115
  • 116
  • 117
  • 118
  • 119
  • 120
  • 121
  • 122
  • 123
  • 124
  • 125
  • 126
  • 127
  • 128
  • 129
  • 130
  • 131
  • 132
  • 133
  • 134
  • 135
  • 136
  • 137
  • 138
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAZAZI 763 wakamatwa Tunduru kwa kutopeleka watoto shule

    January 27, 2023
  • HERI ya Siku ya Kuzaliwa Mheshimiwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan

    January 27, 2023
  • RUVUMA waadhimisha kuzaliwa kwa Rais Dkt Samia kwa kupanda miti

    January 27, 2023
  • MATUKIO picha

    January 27, 2023
  • Tazama zote

Video

RAIS SAMIA alivyomaliza kero ya maji Songea
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

Tovuti Muhimu

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.