Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge amefanya ziara katika hospitali ya Halmashauri ya wilaya ya Songea iliyojengwa katika kijiji cha Mpitimbi ambapo ametaka mradi wa ujenzi wa wodi tatu ukamilike kwa wakati ili kuanza kutoa huduma kwa wananchi
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge amekagua mpaka wa Tanzania na Msumbiji daraja la Mkenda wilaya ya songea kupitia mto Ruvuma
Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.