Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme amekataa kukabidhi madawati 50 na meza 10 katika shule ya msingi Mtakanini Halmashauri ya Namtumbo.Samani hizo zilizogharimu shilingi milioni 4 zimetengenezwa chini ya viwango.
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme ameviagiza vyombo vya sheria kutoa adhabu kali kwa wote wanaotumia dawa za kulevya aina ya bangi kwa kuwa wengi wanajihusisha kulima na kuvuta bangi mkoani Ruvuma.Alikuwa anazungumza kwenhye kilele cha wiki ya sheria nchini.
Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.